Yaliyojiri Afrika: Burundi yapewa nafasi ya uwenyekiti AU

Yaliyojiri Afrika: Burundi yapewa nafasi ya uwenyekiti AU

8:35 Feb 17, 2026
About this episode
Kuteuliwa kwa Burundi kuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika, kunatarajiwa kuleta tija katika juhudi zakutatuwa migogoro inayo zikabili baadhi ya nchi za jumuia hiyo kutokana na Burundi kuwa na uzoefu katika maswala ya kusimamia amani.
Select an episode
0:00 0:00