Taarifa ya Habari: Polisi wamkamata kakake Mfalme Charles
11:13 Feb 20, 2026
About this episode
Andrew Mountbatten-Windsor ameachiliwa huru chini ya uchunguzi baada ya polisi wa Uingereza kumhoji kwa saa muda wa masaa 12 kwa tuhuma za utovu wa nidhamu katika ofisi ya umma.